
Hapa ukifunga ng'ombe, mbuzi au kondoo hawezi ng'oa 😅
Inasemekana mmea huu ni dawa;
i) kama huna appettite unakula mzizi wake
ii)Time mtoto amekatika kitovu, choma mzizi ya hii, weka jivu hapo. Ikaukie hapo. "Uvusura" 😂 witches never find huyo mtoto.
Wewe unajua nini tena kuhusu huu mmea? 😅
Soma zaidi
0 Comments