
" Asubuhi yote hii anakuja kwenye nyumba za watu si aende majalalani uko. " Mume wangu kabla ujafa ujaumbika acha kumchukia chizi Kiasi icho. " Mke wangu uyu mimi simtaki akae balazani kwangu asubuhi yote hii. " Mume wangu akupenda kuwa ivyo uyo inawezekana ameshikwa na njaa acha nikampe chai anywe. " Wewe mke wangu sikuelewi uyu chizi ni ndugu yako au? " Hapana unajua mimi ata baba yangu mdogo ni chizi Kwaiyo najua jinsi ya kuishi nao hawa. " Wengine wanakuwa wapelelezi hawa. " Zamani uko sio sasa yani mbinu igundulike alafu iendelee kutumika apana acha ayo mawazo. "
0 Comments