
la kiume likawa linadondoka anakumbuka maneno ya side wa kazini akawa amejiinamia hawa anamuuliza) " Baba nini kimetokea? " Mama yako yupo na baba yako alizani wewe ndio unapiga simu akataka ampe baba yako uonge nae kinaniuma zaidi wapo kitandani. ( Hawa anaona ndoto ya kusomea ufundi inayayuka alichosema) " Baba nyamaza nenda kalale upumzishe akili. " Usingizi auwezi kutoka kama alikuwa anajua awezi kuachana na baba yako kwanini amekubali nimuoe ananiongopea kaenda kwenye shughuri kumbe kaenda kuππ. ( Alishindwa kumalizia kwikwi ya hasira imemshika...hawa ametulia ajui aseme nini...jamaa akaingia ndani anatamani aonge kwa mtu aya ila anaogopa kutoa siri
0 Comments