
, naomba uvue nguo zako zote Bibi nikuangalie.” ? Nilishtuka kidogo kusikia vile ila sikuwa na ujanja niliinuka na kuanza kutoa nguo moja baada ya nyingine, nikiwa najiuliza anataka kufanya nini kwangu huyu bibi Mgalulaji. ? ENDELEA... “Dijaa vua nguo zote, unanionea aibu mimi tena?” ? Bibi kigalula aliongea baada ya kuwa nimevua nguo zote, nikibakisha Chupi na sikuwa na la kufanya nikavua pia, na hapo nikabaki mtupu. ? Nikamuona anaanza kutupia macho kuanzia dodo zangu mpaka kwenye sufuria la uji wangu, ? na alipofika hapo alionekana kutoridhishwa kwa kile alichokiona na hapo nikamsikia akinambia. ? “Dija una mwili mzuri
0 Comments