Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

,Malikia andwaa aliongea" "Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu..... KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏 https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006 ENDELEA ......... "Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hatoweza kuona na itakuwa ngumu kwake kuwa kiongonzi wa falme hii tukufu" "Hapana haiwezekani tengua utabili wako" "Mfalme ni wajibu wangu kuleta tarifa nilizopewa na miungu na nipo tayali kupokea adhabu yoyote ile kwa tarifa hii mbaya mtukufu mfalme" "Mfalme umemsikia huyu mtabili haiwezekani mwanangu awe kipofu,siamini mambo ya utabili kabisa, naomba umtoe humu ndani,"Malikia andwaa aliongea. Wakati maongezi hayo yanaendelea kulikuwa na

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments