ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu

ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya tatu

Amara alifumba macho kwa muda na kunong`ona moyoni mwake Mungu. Tafadhali tusaidie. Wasitupate hapa. Wawindaji walipokaribia kugeka nyuma ya mti wa mianzi, wawindaji mmoja ambaye alikuwa akitembe nyuma ya wengine, gafla alipiga kelele kwa nguvu, swala. Wawindaji wengine walisimama mara moja na wakageuka haraka. Iko wapi? Iko wapi? Walipiga kelele. Huko, pale, akikimbia kuelekea upande mwingine, muindaji alisema, akionyesha bunduki yake kwenye vichaka. Wawindaji walimsahau nguva huyo kwa muda, wakanza kukimbia kuelekea sehemu ambayo swala alisemekana kuwa. Huku wakinyanyua bunduki zao hewani tayari kupiga risasi. Viatu vyao vilitoa sauti kubwa kwenye majani makavu. Huku wakikimbia kuelekea upande wa swala, wakipiga

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments