Chombezo : Khadija Mtanuko Sehemu Ya 7 IMEANDIKWA NA : JOE MARICK ILIPOISHIA... “Mmh!, Bibi yako kakuongezea vitu kwakweli, embu endelea kuyakata nikuone.” ? Lily aliongea kwa kunitania

Chombezo : Khadija Mtanuko  Sehemu Ya 7  IMEANDIKWA NA : JOE MARICK  ILIPOISHIA...  “Mmh!, Bibi yako kakuongezea vitu kwakweli, embu endelea kuyakata nikuone.” ? Lily aliongea kwa kunitania

, ila kwakuwa nilikuwa sijamaliza kufanya mazoezi yangu na akanikatiza basi me niliendelea kufanya yangu nikimuacha ananikodolea macho.? ENDELEA... “Mmh!, mama umeanza kuwa mtamu hatari mpaka nakutamani sasa.” ? Lily aliongea baada ya kuniona ubora niliokuwa nimeanza kuwa nao. ? “Chezea Bibi kigalula weee!, weuweeee!” ? Nilimjibu na tukaanza kucheka. ?. Baada ya hapo nikaenda kuchukua dawa yangu niliyopewa na Bibi, ? nikaiponda na kuiweka kwenye Ku*a yangu kama kawaida huku tukiwa tunapiga soga na Lily. ? “Alafu nimekuletea chachandu shost, najua bibi kashakufunulia huu ukurasa.” ? Lily aliongea ikiwa ni katikati ya maongezi yetu ya kike. ? “Ulijuaje kama

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments