CHOMBEZO: SHANGAZI Sehemu ya KWANZA. “Aziza tutaenda wote kuifanya hiyo kazi” nilisema huku nikijribu kuinuka

CHOMBEZO: SHANGAZI  Sehemu ya KWANZA.  “Aziza tutaenda wote kuifanya hiyo kazi” nilisema huku nikijribu kuinuka

“Abdam…..abdam!” “Tulia kwanza unaitwa” mzee aliniambia “Nani anayeniita?” Nilimuuliza “Muangalie vizuri anayekuita!” “Mimi mbona naona?” “Wewe hauoni, bado kipofu, angalia vizuri utamuona!” “Abdam..abdam!” Yule mtu aliendelea kuita. Nilipojaribu kuangalia vizuri na taratibu sura ya yule aliyekuwa ananiita ilianza kuonekana vizuri, alikuwa shangazi. “Vipi, umeamkaje?” Shangazi aliniuliza lakini sikumjibu kitu. Niliangalia kila upande na kujiona kuwa nipo kitandani, hapo ndipo nilipogundua kuwa ile ilikuwa ni ndoto. Nilijaribu kuitafakari sana ile ndoto lakini sikupata maana yake kabisa. ” umenikasirikia kwa sababu nimekutoa kwa aziza?” Shangazi aliniuliza huku akitabasamu “Hamna shangazi, ni ndoto tu” “Hahahah bakora yako ni hatari, inachapa hadi katika ndoto,

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments