
“ kaka ai naku uliza wewe.?” “ mmmh aaah nili sahau dada nilijua ni mlango wa chooni si unajua usingizi huu” “ mmmh kaka hata kama ni usingizi ndio ukosee kwenye chumba cha mtoto kweli..? “ amna dada.” “ hahaha haya bhana kaka ngoja niende basi kwanza mimi chooni ” mama ashura alijichekesha tu na kuondoka lkn alizidi kuupata ukweli kuhusiana na kaka yake na sasa alizidi kujumlisha matukio yote na kuanza kupata picha kamili “ mmmmh hapa nisipokuwa makini mtoto wangu ata haribika zaidi sasa ngoja nimfanyie kitu ambacho hatokuja kuki sahau katika maisha yake mshenzi sana huyu ”
0 Comments