
za watu, na kisha nilipewa adhabu hapo hapo, niliambiwa nikimbie bila kupumzika, mpaka atakapo rudi tena hapo kikosi namba saba, kisha aliondoka na kwenda kukagua vikosi vingine, niliendelea kukimbia hapo huku nikiwa nalia kwa hasira, nilijikuta namchukia kwa maramoja tuu ndio kafika tuu, nilikumbuka vile watu walivyokuwa wakisema juu yake, ni mkali sana nikaamini kweli nimkali, alipomaliza kufanya ukaguzi, kisha aliamuru ipigwe firimbi ya kwenda pared, ilipo lia firimbi watu wote walikimbia kuelekea kwenye uwanja tayari kwa pared, walipo fika walijipanga kwa vikosi, na kuesabu namba, ilipo fikia kikosi namba saba, walijipanga na kuhesabu namba, nakisha ilipofikia namba yangu, General
0 Comments