
hapa dar ni mgeni hamna mahali ninapopajua zaidi ya nyumbn Kwa dada angu na Nyumbani Kwa Robert ,na kule kazini Umoja restaurant .Kwa dada nimefukuzwa na kule Kwa Robert nimeondoka mwenyew kazini nimefukuzwa . Yan sijui ata niende wap ,huu mji mkubwa na usiku utaingia sasaiv. Nikawazaaa wee mwishowe nikapata wazo kwanini nisiende Kwa Robert nimuombe kama Bado atakuwa na Yale mawazo yake ya kunio anioe ,ilinikate kauli ya dada kwamba sitoolewa ntakuwa ni mwanamke wa kutumika tuu mpaka wanaume wachoke. Kwel nikaenda nyumbani Kwa Robert Chakushangaza Ile nafika tu getini pale mlinz ananiambia eti Karibu madam .Kwanz nikaanza kucheka
0 Comments