GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General

na kumpigia kwani nilikuwa nimemiss sana,  simu iliita kwa muda sana,   kisha ilikuja kupokelewa na mdada: "Hallow" "Hallow samahani  naweza kuongea na  Ethane? "Wewe ninani yake" "Mimi nimpenzi wake" Yule dada alicheka na kisha akaniambia: "Ooh! Pole kipenzi  ndio unajidanganya hivyo eeh!? Kiukweli nilichukia na kukata simu kwa hasira sana huwa nimwepesi wa kupaniki,   nilichukia hadi nilikuwa natetemeka yaani,    nilianza kulia na kujilaumu kwanini nilikurupuka kuingia kwenye mahusiano  na mtu nisiemjua vizuri mimi,    nilichukia sana,    baadae nikiwa nimejipumzisha  huku ninalia tuu simu yangu iliita tena,  kutizama ninamba ya General Ethane,    sikutaka kuipokea  kabisa kwani sikutaka kuumia tena,   hivyo nikaizima kabisa

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments