GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General

aliinuka na kufungua mlango,  alikua  rafiki yake mmoja ambaye wanakaa wote hapo kambini,  akamkaribisha ndani na kumtambulisha kwangu: "Kamanda Jafari  naomba nikutambulishe kwa mchumba wangu mtadajiwa,   anaitwa kamanda Laura" "Ok karibu sana kambini kwetu Laura jisikie upo sehemu sarama kabisa" "Asante" Kisha yule kamanda,   akaaga na kutoka zake kwani alikuwa anasafari yake binafsi,  kisha  General aliufunga mlango na kuja kunishika mkono akaniinua akanipeleka chumbani kwake  kisha aliniegemesha  ukutani na kuendelea kuninyonya shingoni kimahaba huku akiniambia: "Mpenzi wangu wewe niwangu mimi tuu wangu pekeangu,  nakupenda sana Laura nataka hivi karibuni,  tuwe wote yaani nikiamka niwe nakuona, nikilala uwepembeni mwangu Laura niambie

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments