
Umekubali na kunyoosha mikono juu kwamba , safari yako imeishia hapo ?
Tuseme zile ndoto zako , zitabakia kuwa hadithi ya kufikirika kwa upande wako ?
Kwa hiyo na wewe pia umeshindwa kuwaheshimisha wazazi wako ?
Tukikuuliza kwa nini , unajibu kwa sababu ya changamoto kubwa...
Sikia hustler hakuna changamoto kubwa , mbele ya ndoto zako kubwa...
Matumaini ya wazazi nyumbani ni makubwa , kuliko changamoto unazokutana nazo...
Unakubali kufa huku ukiwa hai , nani sasa atalibutua kopo linaloitwa umaskini nyumbani kwenu...
Sababu zote , zinakataa wewe kukata tamaa , twenzetu tukajaribu na leo, labda itakuwa tofauti na jana...
LECTURE...
Soma zaidi
0 Comments