
*___________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Leo nilikuwa bize salon natengeneza nywele, kesho ni siku yangu ya uchumba Kelvin wangu anakuja kunichumbia rasmi baada ya kumnyima utamu kwa mwaka sasa, kwa makubaliano mpaka anioe, nikakaza mpaka hapa tumefika, nikiwa salon wamama wa salon wakaanza. umbea, alianza mwenye salon, "mnamuona uyo mama aliepita hapa na mkoba wa kijivu? Watu wakajibu ndio, uku wengine tukianza kumtizama akiwa anaishia kwa mbali, "yani anahuyo mme wake, mwanaume hataki kupitwa na skirt yeye kila mwanamke anamtaka sasa pamoja na kusumbua wanawake lakini ni anahicho kibamia kama kidole sio vile vibamia vya kawaida, yani kakwake ni kama kidole,
0 Comments