🙆🔥💔👉 Pale juu ya kitanda nikashindwa nitamjibu aje mke wangu nikafikiria kwa haraka nikaona nikimwambia ukweli

🙆🔥💔👉 Pale juu ya kitanda nikashindwa nitamjibu aje mke wangu nikafikiria kwa haraka nikaona nikimwambia ukweli

atakuja tupa trust kwangu kabisaa na mwanamke akitupa trust kutoka kwako love yake kwako itaisha kabisaa. Sasa nikamwambia atulie kwanza arudishe hasira chini ndio nimweleze; Wife:Haya nimetulia Lewamo Elizah ni nani kwako? Me:Huyo simujui Mpenzi wangu ni nini kwani? Wife:Ebu chukua hii simu yako nisiipasue hapa. Nikachukua simu 📱 kuangalia kwa messages app nikapata ujumbe zake Elizah akichat na wife akifikiria ni Mimi💔. (Ujumbe za Elizah kwangu zilikuwa hivi akifikiria ni Mimi ninayechat naye ila ni mpenzi wangu aliyekuwa anachat naye) Elizah:My Beb mbona Kimya hivi amah ulijua umenipa mimba 🤰 ukanitoroka? Wife:Wewe ni nani? Elizah:Lewamo wacha mchezo unao sasa

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments