𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗠𝗢𝗧𝗢𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗝𝗘𝗗𝗔 𝗛𝗔𝗡𝗗𝗦𝗢𝗠𝗘 ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada

𝗣𝗘𝗡𝗭𝗜 𝗠𝗢𝗧𝗢𝗠𝗢𝗧𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗝𝗘𝗗𝗔 𝗛𝗔𝗡𝗗𝗦𝗢𝗠𝗘 ___________________________________  SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada

angu jamn ucnijibu ivo najiskia vibaya ,hujui ata kilichonikuta uko nilipotoka dada angu . Yan natetegemea wewe ndo uwe mfariji wangu wakwanz ila wewe ndo mpondaji wangu wakwanz kwel dada . Dada akaniambia Yan Mimi nikufariji wewe Kwa ufusca unao ufanya vipi ulio lala nae hajakupa ela au maaan ayo ndo majanga mnayoyapia watu wenye kazi kama zako . Mmmh nikaguna ,nikawa najisemea eeeh kwaiyo uyu dada anajua najiuza au 😏. Weee sindo akanisika nimeguna ,akaanza kunichamba upya ,akawa ananiambia Aya unagunaguna Nini Shetani Mweusi wewe .Yan nimekuombea kazi ofisini Kwa rafiki angu ukaona haitoshi ukamchukulia na bwan wake .

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments