𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA 12 Wakat nalia nikasikia sauti

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA  12 Wakat nalia nikasikia sauti

ikitokea upande wa nyuma yangu ikisema "Jerry nani kakupa mamlaka ya kumsema mke wangu " kuangalia iv alikuw n Alberto,nikamkimbilia nikamkombatia nakuanza kulia Kwa uchungu . Kajerry kalivyo hakana haya akapiga magoti kumuomba msamaha Alberto. Alberto nae alivyo na dharau hakumsikiliza Wala Nini akatoa tu amri Jerry aaamishwe nchi . Mimi apo kiroho kwatu kuangalia iv namtafuta dada angu kumbe yeye ndo alikuw wakwanz alivyoona tu magar ya Alberto alitumua mbio izo 😂😂. Bila ata kuzingatia watu nikampa french kiss 💋💋 Alberto ,na yeye akaamzisha sasa yule hajuag ata hii sehemu hapata Kuna watu yey anahali mambo yake tuu Akaanz

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments