
nyumbani nikamkuta dada angu akaniwekea vitu vyote njee ,naingia ndan akaanza kunisema vibaya .eti nimemuibia Pendo mwanaume wake ambe ni wewe ,kibaya zaidi dada angu akanifukuza .😭 Robert akaniuliza kwaiyo kisa dada kakufukuza ndo unataka kuolewa nikamjibu hapan ila kaniambia maneno mabaya kwanz sitokuja kuolewa na hamna mwanaume ataetaka kunioa ,nikaamuliza Kwan wewe siunanipend . Robert akajibu ndio harakaharaka .Nikamwambia basi naomba unioe ,sasa nipo tayar Robert . Naomba unitoe kwenye hili vazi la aibu na kusimangwa na dada angu ,Naomba unioe tuu mengine yatafata baadae .Robert akaniuliza ila unanipenda nikamjibu tutapendana ndani ya ndoa .Basi Robert aka furah sana
0 Comments