
niingie ama nisiingie ,naskia simu yangu sms inaingia nilivoifgungua kusoma sms inasema mkwe ujue unatucherewesha ,kuchungulia iv chini kumbe walikuwa wananiona😂😂😂😂😂 .Maaan ile ni nyumba ya Ghorofa Yan nimekaa uko juu nikajua hawanioni kumbe naonekana daaaah aibu ilioje😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nikajikaza kikike nikaufungua mlango wa kile chumba ,nikaingia na uoga wangu wote ila sikumkuta Robert nikasema hafadhr kama kashaondoka maaan huu mitihani nilikuwa nimewa na mama mkwe nisinge uweza nikafurahi nikawa Nacheka mwenyew 😂😂😂😂. Nilikuwa nimesimama ila kuangalia uku n uku macho yanaend kwenye kitanda ,nikamuangalia alafu nikaend kukaa ,adi Raha kitanda kinanesanesa kile nikawa nimekaaa ila najinesesha nesesha Nacheka mbavu Sina
0 Comments