𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA 19 - 20 Bila kusita nikaanza kumuuliza baba kwanini ananifanyia iv

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨   SEHEMU YA  19 - 20 Bila kusita nikaanza kumuuliza baba kwanini ananifanyia iv

Mimi si ni mwanae wakumzaa mbona ananifanyia iv , Yan mie naongea uku nalia yeye ananicheka adi anapiga makofi Hasira zikanipanda nikaanza kumtukan ,nakumuukiz anataka Nini kwangu . Baba akaniambia mwanangu mpendwa kwanz Mimi sio baba Ako ila Mimi ni mtu nilie muua baba Ako ukiwa na mienz miwili tangu uzalie ,oooh nimesahau na mama Ako pia nikamuua . Sasa wewe nilikulea ili uniletee manufaa kwenye biashara yangu pale tu utakapo timiza miaka 18 ,ata siku Ile niliozimia baada ya kukuomba uolewe Ile ilikuwa nitrick za kisomi tuu maaan nilijua unanipend na huwez potezea . Twende kwenye main point ,nimekuteka

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments