
wanawake wote heshima kwenu nikianza na mama angu jamn mamb hayaelezeki Yan unaona cjui kama tumbo linakufinyaπ ,na kibaya zaidi unalia machozi hayatoki ππ,Yan adi Robert akawa analia yeye ,Baada ya muda nikajifingua salama ila nilimwambia Robert kuwa sitak mtoto mwengine ππππ. Nilivyojifungua tu kesho kutwa yake nikaruhusiwa ,siku na ruhusiwa dada yangu yule alinitukanaga alikuja kujifanya kumtembelea mtoto ila nilivyomuona tu nilishtuka na nikahisi Hana Nia nzur maana Toka alivyonilaanigi na kunifukuza hakuwa niongelesha Tena Walakunitembelea ata harusi yangu hakuja ndo aje Leo kulikoni. Sasa kibaya zaidi siku iyo eti na Pendo akaja kunitembelea natena ni baada ya muda
0 Comments