
mto ulio katikati ya ufalme wa ADELI na ufalme wa YUNDI kisha jani moja muwekee katika jicho la upande wa kulia na jingine umuweke jicho la upande wa kushoto,UMESIKIA AMA Hapanaaaaaaa!!!!!!!!....... ENDELEA NAYO...... Hapanaaaaaaaa, nikelele tu zilisikika, "Nini binti yangu mbona unapiga kelele asubuhi hii???" "Baba ile ndoto imejirudia tena nimesikia sauti ikiniambia niende katika mti wa ajabu nikachukue majani mawili". "Binti yangu Amma nimeshakwambia iyo ni ndoto tu kama ndoto zingine" "Baba ila sio ndoto ya kawaida hii,toka nikiwa mdogo ndoto hii imekuwa ikinisumbua sana mpaka hii leo". "Basi inakupaswa uamke binti yangu". "Sawa baba,na alafu hujawahi kuniambia mama
0 Comments