
1. Kiasili mwanamke ndiye hutamani mwanaume na sio kinyume chake. 2. Kitendo cha wewe kijana kuanza kukimbizana na wanawake alafu wao hawakukimbilii hiyo ni ishara kuwa bado hujawa Mwanaume Kamili. 3. Mwanaume Kamili hakimbilii wanawake bali yeye ndiye hukimbiliwa. 4. Binadamu ni mnyama kibaolojia. Viumbe wenye jinsia ya Ke huvutiwa na kujipeleka Kwa viumbe wanaume wenye nguvu. Wanaume wenye nguvu. 5. Mwanaume kamili na halisi hawezi kubembeleza mwanamke na kujiliza liza. Huyo mwanaume hazijatimia. 6. Lazima mwanaume uwe na sifa zifuatazo zaidi ya sifa mbili Kati ya hizi a) Lazima Uwe na Akili Sana. b) Lazima uwe na Mali (ujue
0 Comments