PENZI LA SINGLE MAMA SEHEMU YA NNE

PENZI LA SINGLE MAMA  SEHEMU YA NNE

PENZI LA SINGLE MAMA SEHEMU YA NNE ‎Turaendelea palepale amapo maria alikuwa amesema " ananishikaje kiuno kama sio ukorofi" ‎Alisem hivo kisha akaamka na kwenda kumfunia mtoto wake si unajua mbu.Asije akaumwa halafu hela zenyewe ni ngumu ....biashara haziendi sana ‎ ‎Lakini alipokuwa anaondoka baada ya kumfunika mwanae machozi yalikuwa yanamtoka . Unajua mpaka sasa hatujuwi baba wa mtoto yuko wapi lakini inaonyesha kuna jambo zito . Chozi la mtu mzima liheshimiwe. ‎ ‎Akawa anaondoka akasikia sauti kutoka kwa mwanaye " Mama Nakupenda sana kuliko kitu chochote dunia" ‎"Nakupenda pia mwanangu" ‎" usinilie utanifanya na mimi nilie" ‎"sawa mwanangu ngoja

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments