𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž: 68 Akaniuliza

𝑺𝒆𝒂𝒔𝒐𝒏 π’•π’˜π’ π‰π€πŒπ€ππˆ ππŽπ’π’ 𝐌𝐈 ππ€πŽππ€ π€πˆππ” πŸ’πŸ™ˆπŸ’ž:  68  Akaniuliza

kwa kushangaza “mara mbili na umeanza kazi leo?, mdogo wangu sitaki kuongea chochote sasa ila namuomba mganga wako, nipeleke kwa mganga wako. Naomba mdogo wangu, nakuomba sana.” Unajua hata nikajikuta nacheka nikisema “πŸ˜‚πŸ˜‚hivi dada Martha unachanganyikiwa?, mganga yupi, kivipi mbona hata sikuelewi?” Dada Martha akaniuliza “mnawasiliana vizuri, na anakupa pesa?” Nikasoma tu ule ujumbe na kuona asinichanganye. Yeye ndiye ameniunganisha na nduguye na sasa ananitaka kunichimba. Kama yeye ndiye kuwadi wake anataka amtafutie mwanamke mwingine afanye asinichanganye mimi. Nikawa ninajisemesha. My Boss akanitumia ujumbe, nikasoma, ujumbe ulikuwa unasomeka hivi “Thank you my sweet person, I feel your love.. I feel

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments