
? sawa lakini nikakosa amani kuanzia hapošbasi ikapita kama wiki tukasikia juu ya bati kama mtu anatembeaš³ mume wangu unasikia uko juu kuna nini bhana yaan naweza nikafa wewe upo umu umu usikii vishindo juu ya bati?š mmmh Sasa huyo ni paka au nani? paka awe na kishindo hivyošngoja nikaangalie ni nini kilichopo hapana uende uko upate matatizo usiku wote huu uenda ni mtu atokee akujeruhi usiende plz sawa mke wangu ila usiogope mimi nipo sawaš„ŗbasi tukalala lakini naogopaješš siku moja nkawasikia wanaongea na mama ake eti anaogopa mimi nisije patwa na yaliyotokea kwa najma nikawaza au niende jifungulia kwetu
0 Comments