
, nikagonga mlango, nakisha niliitikiwa: "Ingia" Nikafungua mlango na kuingia, kisha nilimkuta muhimu General akiwa kakaa na raptop take yupo bize kidogo mwenyewe nikamuambia: "Muheshimiwa, nimeambiwa unaniita" "Ndio nimekuita rafiki yangu, sasa hivi ni mtu na rafiki yake, tafadhari niite Ethane, usiniite muheshimiwa sawa" Aliongea huku macho bize kwenye kazi aliyokuwa anaifanya, kwenye raptop yake, nilitabasam tuu lakini niliendelea kusimama hapo, General akaniambia: "Kaa basi kwenye kiti" Nilikaa na kisha akaniambia: "Laura sijakuona kwenye chakula, vipi umekula lakini? "Ndio nimekula" Nilimjibu kwa sauti yangu ya upole, huku nikiwa bado sina uhakika nae, nilikuwa namuogopa bado, japo sio sana kama mwanzo,
0 Comments