
.
Ila taarifa iliyopo mpaka sasa ni kuwa Kocha amekacha hayupo na timu huku nao Simba wakiwa tu kimya, mtego uliopo hapo ni kuwa Simba wakitangaza kuvunja mkataba watapaswa kumlipa fidia na endapo yeye akitangaza kuondoka atapaswa kulipa mishahara ya miezi mitatu.
Huku ripoti zikidai Kocha Fadlu anapokea mshahara unaokadiriwa kuwa karibu na Billion mbili za Kitanzania kwa mwaka.
Soma zaidi
0 Comments