
Ameandika kuwa: “Usela ukizidi sana, Ndugu yangu utakwenda jela.
Kila wakati unaleta leta miyeyusho na kipala chako
Watu wanakausha kwa sababu wanakuona kama chizi.
Lakini nakuapia kuna siku utayavagaa halalu utajutia sana”
Unahisi Ujumbe wa Jay Melody unamlenga nani??
Soma zaidi
0 Comments