
nyumbani ๐๐ kwanza nilikuwa nimevaa mavazi si ya heshima๐ Na nilikuwa na bag na yale maua aloninunuliaga Romy nilihitaji kuvipeleka nyumbani nibadili nguo ndo nikawaone wazazi wa Hemed๐๐.. Dereva nilimuomba aendeshe gari mbio mbio๐ด๐ดyani nilitamani hadi nipae nyieee๐๐๐.. Tulifika nyumbani nikakimbia ndani haraka wa Tax nikamuomba anisubilie nilirusha vitu kitandani nikavua vile vinguo nilivokuwa navo chapu nikavaa gauni ndefu๐ Nikajifunika na mtandio kutia heshima zaidi๐ด๐ chini nikavaa mosimo๐๐ wala sikujiremba bwana urembo kama upo upo tu... Nilimaliza nikabeba mkoba na vipesa kidogo nikatoka kuelekea kwa Hemed๐ด๐ด sijui huyo Hemed tunaenda kutazamanaje๐๐๐ Nilifika sehemu anapokaa Hemed nayeye ndo alikuwa anaingia kutoka
0 Comments