
Taarifa kutoka vyazo mbali mbali nchini India vimeripoti kuwa Sunjay amefariki leo akiwa kwenye mchezo wa polo nchini huko nchini Uingereza akiwa na umri wa miaka 53.
Sunjay/Sanjay Kapur alikuwa mume wa Karishma tangu mwaka 2003 na kuachana mnamo mwaka 2016 na Walipata watoto wawili ambao ni Samaira (2005) na Kiaan (2011).
Soma zaidi
0 Comments