
..... tulia galia sana sana kisha mwisho wa siku nikapokea simu ya rafiki yangu yaani shogile ukipenda muite Caren mwalimu wangu wa ukubwa nisiwafiche masomo nilikuwa sielewi nahisi sababu ni mwalimu mbona huyu kanielekeza nimeelewa? Mwalimu wa mathe kwanini lakini ? " Mambo shogile" " Powa mzima wewe" " Mi mzm sijuwi wewe" " Niko powa wapi apo? " Uko wapi Caren " " Ndo napanda gari narudi nyumbani " " Oho mwenyewe niko nyumbani," " Aaaah shoga jamani leo nimemis mume wangu sio siri nataman anikune hatari" Muda huo mume mwenyewe anayemsemea na aliyekywa akimsifia kuwa kwake habanduki yupo
0 Comments