
,Albert akawa omba walinz wake watupishe kidogo tuna maongezi basi nao bila kupiga wakatupisha . Apo nikamfata nikamkombatia Nikaanza kupapasa ndefu mtoto wa kike nikachukua chapati nikaikata kidogo nikachomvya kweny maini niliyoyapika . alafu nikaila kidogo upande ulionak nikamlisha Alberto na mdomo wangu . kwanz Alberto alishangaa mamb gani Aya hajawai niona Nina mahaba iv bac akadadis kunakitu nataka sio bure . Nikamrisha pale tulivyomaliza tu nikamwambia Alberto Kuna jambo nataka kumwambia naomba unisaidie Alovyosikia ivo tu akakza kucheka n kuniambia nilijua tuu hmn jipya Kuna kitu unatak maana sio Kwa mahaba haya cjawai kukuona unafanya iv nakwtaarifa yako huruhusiwi
0 Comments