
baadae nikampa zawad yake ,mida y jioni ulipofika dada akaniambia Zuu kwanini tusiende beach ⛱️ kufurahia zaidi kukutan kwetu. mie nikabaki nimeguna tuna akaniuliza shida Nini Shem anakukataza au nikamjibu Kwa kitikisa kichwa yeye akaniambia ucjali tunaenda hatojua tutawai kurud . Nikamwambia naogopa akasema we twende . alivonibembeleza sana nikakubali . tukaenda beach tukaogelea ww kumbe Kuna walinz wawili mume wangu kwaajili wawe wananifuatilia . Hatukuishia apo tulivyotoka beach tukaenda shopping 🛍️🛒,Mie nikajiendea kwenye sehemu ya night dress 👗,nikachagua kimoja cha kijivu na chekundu sasa nikashindwa nichukue IP kati ya izo . Chakujitesea Nini wakati Nina mume😂 ,nikapiga picha alafu
0 Comments