πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12

Siku moja baadaye Upande wa jijii Dar es Salaam, Karimu alikuwa mjini amesimama njiani anaongea na simu, hata hivyo Karimu alikuwa anamsubiri Rose ili ampatie funguo za geto la Ray. Hata hivyo alikata simu na kutembea tembea mpaka pale alipoweza kufika maeneo fulani, ndipo alipomuona Rose akiwa amesimama kajibanza kwenye kona. Alimsogelea kwa karibu “Shem vipi?”alimsalimia “Safi kwema?” alimuuliza “Kwema, nimekusubiri sana ujue” alisema Karimu “Jamani samahani sana, nilikuwa niko mbali, si unajua siku hizi naishi vingunguti?” “Vingunguti? Tangu lini” aliuliza Karimu kama vile hajui “Ndio, jamani mwenzako hajakuambia?” Rose aliuliza “Hapana” “Ok nambie Karimu” alisema na kuvuta pumzi “Ah…mh

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments