𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA 14 Siku ikaisha basi mie nikajua ndo nikishafanya vile ndo

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨   SEHEMU YA  14 Siku ikaisha basi mie nikajua ndo nikishafanya vile ndo

basi mpaka labda wiki ijayo ivi au mwezi ujao maan nilikuw naunguza kidonda 😂. Cha ajabu kesho yake usiku nashangaa vitu vinaingizwa chumbani kwetu ,mume nae anaingia namuuliza Alberto iv vitu vya akanijibu short tu Vyakwangu naamia chumbani kwako . Nikaanza kutetemeka 😂 . Usiku ulivoanza kukolea sasa muda wa kulala, nshazoea Alberto huwa halali mara nyingi hua anafanya kaz ofisini Kwa ,chaaajabu usiku huuulikuw wa tofaut maaan imefika saa Tano tuu kaend kuoga kavaa na night dress . Apo najiafnya nacht kumbe namsomea rada anachotaka kufanya . Kutoka zake kuoga kajipulizia marsh kavaa na pajama yake swafi 😂 shughuli

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments