
akaingia bafuni chap kuoga Kisha akatoka akiwa kashavaa Kila kitu ,akajipulizia marasha na hata hakunisumbua labd kuniamsha ,ila aliacha ujumbe wa wafanya kazi . Mie chauvivu nimekuja kuamka saa Tano Sina hili wa lile ,apo najisemea ngoja nikaoge nikimaliza nimfate Alberto wangu ofisini kumsalimia . Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa ,kabla cjajibu ufungulie ,yule mama mtu mzima akaufungua yeye mwenyw .akaingia bila salamu yoyote akanipa simu yenye ujumbe wangu . kuufungua ule ujumbe nakuta imeandikwa Mke nimepata dharura ivo sitokuwepo Kwa wiki tatu naomba ujilinde na nimekuwek bastora apo chini ya kitanda ,bafuni Kuna nyingine ,kwel dress table na kwenye
0 Comments