𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA 9 Alberto akaniachia nikaangua mpaka chini Kisha akaondoka zake

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗠𝗣𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗜𝗔 𝗕𝗢𝗦𝗦 𝗕𝗜𝗞𝗥𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 SEHEMU YA  9 Alberto akaniachia nikaangua mpaka chini Kisha akaondoka zake

.Yan aliona jau kwel Yan bac akajiamulia hataki ten kuniomba mambo ya mapenz . siku ikapita vizur kesho yake ili ni birthday ya dada angu Zalina ,ivyo nikawa na shauku sana ya kuhudhuria ila nikawaza ntaombaje ruhusa n Mimi siruhusiw kutoka kabisa Yani . Nikapanga mipango yangu nikaanza kujipendekeza nikaanza kuaanda break fast mwenyew ,apo nilikuw sipiki sana nyumbani ila nilifundishwa kidogo maana nilikuw last born kwaiyo mideko Kwa baba kama yote . Uku sasa nikawa naanda chapati picha linaanza ninangano mwili mzim nimemaliza kukanda nikawa nimeweka jikoni chapati yangu nzur ,nikawa naangaza uku na uku nikiwaza plan Yan ikifel

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments