SEHEMU YA KUMI NA TATU* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI❤

SEHEMU YA KUMI NA TATU* MADAM JOY NA MIMBA YA CEO MWANAFUNZI❤

Alikuwa mama yake mzazi na J, alileta tuhuma zangu shuleni ikapelekea nikaachishwa kazi,hakuishia hapi alitutengenezea zegwe na majambazi ili nitolewe mimba,bahati nzuli yule mlinzi akapata taarifa, akaamua kututolosha mapema, na bibi, sikuwa na ujanja tayali tumbo lilikuwa limeshatokeza... Tuliamua kwenda kujibanza mwanza, bahati nzuri ile pesa ya biashara sikuwahi kuigusa na hata kadi ya kipindi kile siku ya kwanza nipewe sikuwa nimeitumia, tuliuza mifungo ya bibi na pale tukaweka wapangaji.. Kwa kutumia mgongo wa mlinzi, tikakimbilia mwanza, tulinunua nyimba ya ml 50, ilikuwa na geti kabisa nzuli tu, pamoja na tumbo langu lakini sikutaka kulemaa, niliamua kufungua biashara, nilifungua hotel

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments