"SHEMEJI YANGU AMEGEUKA KUWA SIRI YANGU"

"SHEMEJI YANGU AMEGEUKA KUWA SIRI YANGU"

✍️ Imeandikwa na Rachel Niliwahi kuamini kuwa mapenzi makubwa zaidi duniani ni yale ya ndoa, lakini sasa moyo wangu unanipinga. Mume wangu ni mchangamfu, mwenye upendo na heshima. Lakini tangu siku nilipokutana na mdogo wake, kulikuwa na kitu kisichoelezeka kilichonigusa ndani kabisa ya nafsi yangu. Sauti yake ya upole, jinsi anavyonitazama kana kwamba anasoma mawazo yangu, na hata jinsi anavyotabasamu… yote yamegeuka sumu tamu inayoua amani yangu taratibu. Sijawahi kumwambia. Kila mara nikimuona nyumbani kwetu, moyo wangu unacheza kwa kasi ya ajabu. Wakati mwingine hukaa karibu nami, kuniuliza mambo madogo madogo, na macho yake huzungumza zaidi ya maneno. Nimejaribu kuepuka

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments