
.
.
Kwa sasa Pacome Zouzoua yupo nchini kwao Ivory Coast kwaajili ya mapumziko pamoja na uzinduzi wa nyumba yake mpya aliyokua anaipambania kuijenga wakati wote akiwa yupo nchini Tanzania.
.
Endapo Simba watamshawishi vizuri Pacome Zouzoua, basi atajiunga nao msimu wa 2025-2026.
Soma zaidi
0 Comments