Vino Snap anasema kuwa usiku wa leo ameota kuwa Mamelodi Sundowns walikuwa wanaongoza 3-0 dhidi ya Real Madrid kwenye Fainali ya FIFA

Vino Snap anasema kuwa usiku wa leo ameota kuwa Mamelodi Sundowns walikuwa wanaongoza 3-0 dhidi ya Real Madrid kwenye Fainali ya FIFA

😄🇿🇦Mpiga Picha maarufu wa Afrika Kusini, Vino Snap anasema kuwa usiku wa leo ameota kuwa Mamelodi Sundowns walikuwa wanaongoza 3-0 dhidi ya Real Madrid kwenye Fainali ya FIFA Club World Cup! Anauliza aendelee kuota ama azinduke upesi?🤣

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments