
N/A tuwapigie makofi timu ya Young Africans Sports Club
Klabu ya @yangasc leo imetoa toleo jipya la jezi zao ikiwa ni mwezi mmoja baada ya kutambulisha jezi za msimu.
Lugha waliyotumia Yanga kuleta mzigo mpya sokoni imejaa sanaa sana ya muktadha.
NB: Ilikuwa ni ngumu kusema sokoni kugumu.🤣
Nasoma COMMENT zenu mashabiki zangu 🤣
.aliye post ni admin wangu 👉 Djparty On Mix
Soma zaidi
0 Comments