
π Watu wote midomo ikabaki wazi kwa mshangao wa lile tusi Zito yule mama kalitoa na hapo chausiku akashika soda ile dah yani...π Mwenye bar akatokea na kusema. " Uyu mwanamke apelekwe police na soda yake mkononi. ( Yani baunsa walimtoa chausiku na kumpeleka police na mimi nikakomalia kesi iwe kubwa..ila cha ajabu baba alikuja police na aliona soda yenye njunja alienda kuongea na chausiku mpenzi wake alijibiwa) " My nimeweka njunja hili mtoto wetu alale asisikie miguno si unajua ukinifila napagawaga...ila yule mtoto wako wa kiume ndio aliona na kanitukania mama yanguππ. ( Baba anatumia nguvu ya pesa kumtoa
0 Comments