
( CHONDE CHONDE SIO SHABIKI WA CHOMBEZO USISOME) π Yani anaongea kipombe POMBE na simu mimi nilikuwa nishapokea, Mke wangu ninayempenda anasema, Aloo mume wangu wewe tabia gani hiyo unayofanya una....π POKEA simu alafu auongei. " Nilishusha pumzi ya furaha kumbe mke wangu ninayempenda ajasikia aya maongezi, Sasa Nikatoka nje nasema aloo aloo, Kule mke wangu asikii nikajua simu ishazingua maiki nikamwandikia sms, " Mke wangu nahisi simu imekufa maiki ulikuwa unasemaje?. " Akaniambia, " Aya uwe na usiku mwema nilikuwa nakusalimia tu kesho tengeneza simu. " Hapo Nikamwambia sawa na nikazima simu yenyewe kabisa isinilete uchuro. Nikaingia zangu ndani
0 Comments