NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04

NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04

SONGA NAYO....... Nililipa vijana ambak walimvamia mama usiku na kumpiga sana Kisha wakamuacha akiwa na hali mbaya Sana hakuweza hata kutumbua macho, wakati yote yakiendelea nilikuwa nimekaa pembeni nikiangalia, walivyomaliza waliondoka wakaniacha nilimsogelea na kuanza kuongea nae " Ungekufa pamoja na kamili haya yote yasingekukuta mwanamke uko na roho ya paka wewe ujui hata maisha yako yakoje na Bado unaishi wachawi Ni wachawi tu unawezaje kulala sehemu kama hi na unaamka " Ingawa mama akuweza kufumbua macho lakini aliweza kunijua alizungumza kwa tabu Sana " Saada naomba unipeleke hospital Nina hali mbaya Sana usiniache hapa " Nilibaki nikimuangalia kwa dharau

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments