
PENZI LA SINGLE MAMA SEHEMU YA PILI TULIPOISHIA .... Aliniomba nimtishwe nami sikuwa na hiyana ile namuwekea kichwani alipepesuka kidogo nikajua anataka kuanguka nikamshika kiuno sura zetu zimesogeleana karibu tunatazamani hafu maji kidogo yakanimwagikia usoni Tulibaki tumeganda kama sanamu Mkono wangu kiunoni kwake macho yetu yanatazamana ************ Endelea na sehemu ya pili ...... Tulibaki tukiangaliana, mapigo ya moyo yakiwa yanakwenda mbio. Ilikuwa kama muda umesimama, upepo , sauti za ndege zilikiwa zinasikika , yaani kam.a wanatushuhudia Mikono yangu bado ilikuwa kiunoni kwake, maji yakinimwagika usoni na nguo zangu na hata zake zilikuwa zinalowa tu kwa matone madogo dogo
0 Comments