π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š:....: π‰π€πŒπ€ππˆ πŠπ€πŠπ€ 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 πŸ«¨πŸ˜‹ πŸ˜‹πŸ”₯20

π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š:....: π‰π€πŒπ€ππˆ πŠπ€πŠπ€ 𝐀𝐒𝐒𝐒𝐒𝐇 πŸ«¨πŸ˜‹ πŸ˜‹πŸ”₯20

SONGA NAYO...... nikasimama uku nmeshika kiuno nikawatazama nikawauliza vp kuna mtu kaibiwa mbona mnapiga kelele barabaran shida Nini akajibu Diana shoga angu naona mimba imekupendeza mashallah ila tatizo ni Moja tu umefulia unatembea Kwa miguu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakacheka uku wanagongeshana mikono na brie nikamjibu saw natembea Kwa mguu ulitaka niikate iyo miguu niiache nyumbn au em acha shobo unaongea shombo ukiwa aujawai kumiliki ata baskel uko unaangaika na gari za watu😏😏 nikamsikia brie anajibu ila tumepewa gari na bwana Ako na anatuekea mafuta kila siku we huogopiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wakawa wanacheka nikamuulz we brie unajua historia ya iyo gari kwanza au unabwabwaja tu

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments