A HOT ROMANCE WITH ENGINEER* *SEHEMU YA 01 na 02

A HOT ROMANCE WITH ENGINEER*     *SEHEMU YA 01 na  02

"Jamani usisali kingeleza, utakuja kujilaani mjukuu wangu, aliongea bibi yangu shangazi yangu nae akadakia, "Ukute ndio maana mambo yake hayaendi,ushajichanganya tayali, mapast tensi patispo, ninavyokuona wewe unaweza sema i forgive you my Lord, ooh I wonder you my Lord... Nikaona nisiwasikilize niendelee kuomba tu, tena nikaongeza sauti ili shangazi asinichukulie poa mi wa mjini bwana, God i forgive, Lord without me you're nothing, shangazi yangu alicheka jamani alicheka mpaka akalala chini, " yani kumbe tulikuwa sawa mama mjukuu wako unajua ameomba nini apo? Yani kwamwambia Mungu, ( Mungu nimekusamee,Mungu bila mimi wewe sio chochote/ sio kitu)... Hee bibi akashika kichwa

Soma zaidi

Post a Comment

0 Comments